Prevo star
Member
- Oct 10, 2011
- 83
- 28
Hapana, zingine hazihitaji hisia ya mwanamkeUongo.. Unavuta hisia kwa kutumia image ya mwanamke
Uongo.. Unavuta hisia kwa kutumia image ya mwanamke
Uzuri ni kwamba HURUMA na REHEMA YA MUNGU NI KUBWA KULIKO DHAMBI ZETU..!Unajidanganya bora nkae kivyangu kuliko kuwa na mwanamke au mwanaume na hata hivyo ntaepuka zinaa..
Umejidanganya... Hata uwe bikra tayari ushafeli mbinguni huendi!!
Fact ni kwamba unazini rohoni mwako!
Zinaa ya rohoni ni matokeo ya kupata picha ya mtu machoni then unmweka akilini.. Baada ya hapo unamtamani moyoni yaani unatamani mfano vera sidika au sanchoka angekua wako.. Then hilo linashindikana unajikuta unaanza kuimagine upo nae kitandani unafanya nae mapenzi in reality huku mikono yako inaendelea kushirikiana na vitendea kazi vyako... Hapo ushazini ndugu yangu
Mathayo 5View attachment 923190
Kwani nani yuko serious?U? Achukulia serious.. .mwenzio nasocialize tu hapa
HahahahaHuna experience nzuri Mkuu, kwa sisi Sinor Member wa CHAPUTA, we can pulingi without any woman image. So we are happy and free with this new invention
Kwani nani yuko serious?
Na dunia ya sasa mtu unaanguka ghafla unakufa.. Utatubu mda gani kama sio sasa na kuacha dhambiUzuri wa ni kwamba HURUMA na REHEMA YA MUNGU NI KUBWA KULIKO DHAMBI ZETU..!
One thing not to forgot is confession.
ISAYA 1:18
Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Basi hao juniors waambie hawaendiiKwa junior members lakini, sisi senior member tulisha hama analogia Sasa tuko....
Kila MTU Ana style yake ya kuhubiri injili.
Nayesema hana dhambi basi anajidanganya..! Mimi mkatoliki kama kuna ubatizo wa tamaa ya kubatizwa, vipi hakuna toba ya tamaa ya kutubu???Na dunia ya sasa mtu unaanguka ghafla unakufa.. Utatubu mda gani kama sio sasa na kuacha dhambi
Huna experience nzuri Mkuu, kwa sisi Sinor Member wa CHAPUTA, we can pulingi without any woman image. So we are happy and free with this new invention
hahhahahaaaaUtamu wajinyime na bado mbinguni hawaendi, haya ni matumizi mabaya ya dhambi.
Chaputa kilinisaidiaga sana pindi nipo Shule so nakiheshem sana mzee baba
we aggy p+hala kweli, yaani UTAMU niukose then niende motoni sawa na yule aliyekubuhu kuunganisha vikojoleo kila kukicha kweli?