Mimi naona ss wapangaji nibora tulipe kodi ya nyumba kila mwezi, maana hata serikali inalipa mshahara kila mwezi, wenye nyumba kutulazimisha mikataba ya miezi sita wakati ss tunalipwa mishahara kila mwezi c sawa.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app