Hats Chelsea wana nafasiUingereza zote kasoro chelsea zitaingia robo
Bado naona timu za EPL zikitoboa.
Katika upangaji wa timu 16 zitakazopambana katika hatua ya mtoano uliofanyika leo, Timu ya Real Madrid imepangiwa kucheza na PSG wakati Chelsea itapambana na Barcelona.
Hii ndio jinsi timu zote zilivyopangiwa kucheza
Juventus vs Tottenham
Basel vs Manchester City
Porto vs Liverpool
Sevilla vs Manchester Utd
Real Madrid vs PSG
Shakthar Donetsk vs Roma
Chelsea vs Barcelona
Bayern Munich vs Besiktas
Je ni timu zipi zina nafasi ya kufuzu hatua ya robo fainali?
Barca sio wazuri kihivyo wanafungika sana tu, sema Man city na Liverpool will be happy. Man u pia sevilla makali yamepungua sana tu. hata spurs nawapa nafasi 50/50. KO mechi zinakuwa kama hazitabiriki ila shughuli kwa kweli PSG na Real kazi ipo.Uingereza zote kasoro chelsea zitaingia robo
Sasa mbona umerudia kuandika kilichopo kwenye Picha uliyoweka auauauhahahah
Katika upangaji wa timu 16 zitakazopambana katika hatua ya mtoano uliofanyika leo, Timu ya Real Madrid imepangiwa kucheza na PSG wakati Chelsea itapambana na Barcelona.
Hii ndio jinsi timu zote zilivyopangiwa kucheza
Juventus vs Tottenham
Basel vs Manchester City
Porto vs Liverpool
Sevilla vs Manchester Utd
Real Madrid vs PSG
Shakthar Donetsk vs Roma
Chelsea vs Barcelona
Bayern Munich vs Besiktas
Je ni timu zipi zina nafasi ya kufuzu hatua ya robo fainali?
Bacer ya sasa ni sawa nyuki wa mashineniUingereza zote kasoro chelsea zitaingia robo