Chama cha Wanasheria Uganda imeishtaki Serikali Jeshi kuendelea kuzingira makazi ya Bobi Wine

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Chama cha Wanasheria wa Uganda (ULS) kimefungua kesi dhidi ya serikali, ikishutumu vikosi vya usalama kwa kuizingira nyumba ya kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi 'Bobi Wine', huko Magere, kwa kutumia askari wenye silaha pamoja na ndege zisizo na rubani, wakidai ni kinyume na sheria.

Maombi hayo yanataka kuondolewa mara moja kwa wanajeshi, kusitishwa kwa vikwazo vinavyodaiwa kuwekwa, pamoja na kuwajibishwa kwa yeyote aliyehusika na ukiukwaji wa haki za binadamu.

Ombi hilo lililowasilishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkuu ya Kasangati pia linaomba amri ya kudumu itakayozuia serikali au mawakala wake kuingilia uhuru wa familia hiyo wa kusafiri.

Aidha, chama hicho kinaitaka serikali inayoongozwa na Rais Yoweri Museveni kuwasilisha ripoti ya kina ndani ya siku 120 ikieleza hatua zilizochukuliwa kuhakikisha uwajibikaji, ikisisitiza kuwa iwapo agizo hilo halitatekelezwa, hatua za kudharau Mahakama zinapaswa kuchukuliwa.


Soma pia

==========

The Uganda Law Society (ULS) has filed a court case challenging what it describes as an intrusive and prolonged security operation around opposition leader Robert Kyagulanyi, also known as Bobi Wine, at his home in Magere, Wakiso District.

According to reports, the petition seeks the immediate withdrawal of police and military personnel stationed near the residence and an end to continuous surveillance, which lawyers argue violates the family’s constitutional rights.

As reported by The Monitor, the application filed at the Kasangati Chief Magistrate’s Court also requests a permanent order barring the state or its agents from interfering with the family’s freedom of movement.

The society is further asking the government led by Yoweri Museveni to submit a detailed report within 120 days outlining steps taken to address accountability gaps, including any investigations. ULS says failure to comply should result in contempt proceedings.

“The deployment, encirclement, blockade, surveillance, and continued presence of armed personnel at the Kyagulanyi residence constitute an unlawful restriction of personal liberty and interference with the right to privacy,” ULS president Isaac Ssemakadde told journalists during a media briefing.

Reports indicate that Kyagulanyi’s family is under significant stress due to ongoing incidents at their home. In a supporting affidavit, ULS vice president Anthony Asiimwe said that during a visit to the residence, Kyagulanyi’s wife, Barbara Kyagulanyi, described frequent drone surveillance and repeated attempts by officers to access the property without permission. The affidavit also states that officers photographed her without consent, leaving her distressed.

The case follows the disputed January 15 presidential election, in which President Museveni secured 72 percent of the vote, while Kyagulanyi, leader of the National Unity Platform (NUP), received 24 percent. Kyagulanyi had gone into hiding for two months before leaving the country last week.

"Over the next few weeks, I will engage with our friends and allies all over the world before returning to Uganda to continue the push for freedom and democracy!" Kyagulanyi said on March 14 when announcing his departure, urging supporters to remain focused and united.

Four days later, Kyagulanyi shared a photo of himself outside Capitol Hill in Washington, DC, indicating that he had begun his international engagements.


Source: The East Leigh Voice & Daily Monitor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…