Kusema ukwelI chama hiki kimepoteza mvuto na umaarufu wake.
chama hiki kimemezwa na CHADEMA ndani ya ukawa,
Wagombea wake hata hawasikiki na kufahamika kwa wananchi tofauti na ilivyokuwa zamani.
Hatuoni wa tu wakionesha nia ya kujiunga na chama
hiki zaidi ya wengi kama sio wote kukimbilia chadema.
Ili kudumisha ukawa baadhi ya wanachama wa CUF watapaswa kukana uwanachama wao na kuchukua wuanachama wa chadema mf.nafasi ya makamu wa raisi na zingne...
kwa hali hii I PREDICT THE TOTAL DISTINCTION OF THE CIVIC UNITED FRONT PARTY.(CUF)
​Extinction or Distinction?
hahahahaha mkuu jamaa anaota
Kusema u kweli chama hiki kimepoteza mvuto na umaarufu wake.
Chama hiki kimemezwa na CHADEMA ndani ya ukawa,
Wagombea wake hata hawasikiki na kufahamika kwa wananchi tofauti na ilivyokuwa zamani.
Hatuoni wa tu wakionesha nia ya kujiunga na chama hiki zaidi ya wengi kama sio wote kukimbilia CHADEMA.
Ili kudumisha UKAWA baadhi ya wanachama wa CUF watapaswa kukana uwanachama wao na kuchukua wuanachama wa chadema mf.nafasi ya makamu wa raisi na zingne.
kwa hali hii I Predict thr totak distinction of the Civil United Front part.(CUF)
Mrs Malaprop huyo kafufuka!​Extinction or Distinction?
Acha ramli chonganishi wewe.