Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,963
- 1,616
Kuhusu Adds
Kama simu ipo rooted basi pakuwa app inaitwa AdAway
Kisha Enable hutoona adds (matangazo) kwenye app zako.
Poa ngoja nijaribuAngalia kwanza kwenye tab yako kama ipo ambayo si installed uifute na u clear cache. Kisha jaribu tena.
Download nyingine
Sasa niki download hiyo Adaway inakuja hizo jumbe.
Nime allow ila inakataaK
Mkuu akikishabunna Allow root permision
Poa ngoja nijaribu
Poa ngoja nijaribu
K
Mkuu akikishabunna Allow root permision
Hapo tayali
Lakini mkuu mbona bado naendelea kuyaona haya matangazoHapo tayali
mm mwnyw nilkua natumia android but now hii iOS imenibanaLakini mkuu mbona bado naendelea kuyaona haya matangazo
Mkuu ndio maana nilitangulia kusema kwa walio root simu tena kwa herufi kubwa, sikusema mtu a root simu yake ili afuate hayo maelekezo, uamuzi wa ku root simu ni wamtu binafsi.Power Amp ina trial version ya wiki mbili. Hivyo kama hutaki mambo ya ku-root basi tumia kwa wiki 2 muda ukiisha nenda kwenye setting - apps. Hapo una clear data na ku clear cache kisha restart (zima na kuwasha simu). Ukiingia tena kwenye power amp itakupa tena wiki 2 kama umeinstall leo.
Uko sawa mkuu, nimewasaidia wale ambao hawajaroot na pengine hawapendi ku-root.Mkuu ndio maana nilitangulia kusema kwa walio root simu tena kwa herufi kubwa, sikusema mtu a root simu yake ili afuate hayo maelekezo, uamuzi wa ku root simu ni wamtu binafsi.