AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,050
Wenzake wanatumbua pesa za ruzuku ye anahangaika kupiga makelele jukwaani, Huyu jamaa bwana. Hako kacheo alikozawadiwa na wachagga kanampa kiburi , hajui muda si mrefu watamfukuzia mbali, chezea Mtei wewe..!!!
Maandalizi ya muda mrefu ya Chadema kuchukua dola yanaonekana sasa,
Sasa njia ni tambarare kwa UKAWA kuchukua Dola.
Wasaliti kibarua chao kinaisha October mwaka huu
Kwa maana ya ukawa kule znz wameachiwa cuf mkuu
Wenzake wanatumbua pesa za ruzuku ye anahangaika kupiga makelele jukwaani, Huyu jamaa bwana. Hako kacheo alikozawadiwa na wachagga kanampa kiburi , hajui muda si mrefu watamfukuzia mbali, chezea Mtei wewe..!!!
Wenzake wanatumbua pesa za ruzuku ye anahangaika kupiga makelele jukwaani, Huyu jamaa bwana. Hako kacheo alikozawadiwa na wachagga kanampa kiburi , hajui muda si mrefu watamfukuzia mbali, chezea Mtei wewe..!!!
Hivi ni lini naibu katibu mkuu wetu wa Zanzibar Ndg. Salum Mwalimu ataanza ziara za kukijenga chama chetu huko upande wa pili wa muungano (nchi ya Zanzibar)??