Wenzake wanatumbua pesa za ruzuku ye anahangaika kupiga makelele jukwaani, Huyu jamaa bwana. Hako kacheo alikozawadiwa na wachagga kanampa kiburi , hajui muda si mrefu watamfukuzia mbali, chezea Mtei wewe..!!!
Wenzake wanatumbua pesa za ruzuku ye anahangaika kupiga makelele jukwaani, Huyu jamaa bwana. Hako kacheo alikozawadiwa na wachagga kanampa kiburi , hajui muda si mrefu watamfukuzia mbali, chezea Mtei wewe..!!!
Wenzake wanatumbua pesa za ruzuku ye anahangaika kupiga makelele jukwaani, Huyu jamaa bwana. Hako kacheo alikozawadiwa na wachagga kanampa kiburi , hajui muda si mrefu watamfukuzia mbali, chezea Mtei wewe..!!!
Inapotokea mtu akaleta usaliti dhidi ya ukombozi huu simuelewi! Kwamba afanye ivyo kugawanya nguvu ya pamoja ya ukawa na chadema (on it's owm initiatives), ili magamba yarudishe tena mitandao yao ya ufisadi na vyeo vya kupendeleana serikalini? Ehee Mungu wangu aishie atashughulika naye!
Hivi ni lini naibu katibu mkuu wetu wa Zanzibar Ndg. Salum Mwalimu ataanza ziara za kukijenga chama chetu huko upande wa pili wa muungano (nchi ya Zanzibar)??