kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Una akili ya kibwege sana ! Aibu waliyoipata wazazi wako haina mfano ! umejidhalilisha sana !Propaganda hizo wewe, pesa walikuwa nayo. Hiyo kuchangisha ndani ya saa 1 ni propaganda, shtuka.
Tumeonya mara kadhaa kwamba Shetani hajawahi kumshinda MunguKwa namna maisha yalivyo magumu na kwa muda uliotumika kukusanya milioni tano zakumwepusha Yeriko Nyerere na kifungo, nakiri kuwa Hawa watu wanaumoja usiomithilika.
Lisaa limoja kupata 5M kwa tangazo la tweeter, Instagram na Facebook itoshe kusema mizizi hii imejikita kwenye shina la miyoyo ya watu. Niwaombe wailinde imani hii waliyopewa. Imani ya waliohama kufa kisiasa na waliobaki kupanda chati kisiasa.
Karibu uraiani Yeriko Nyerere mzee wa mizimu
wamesema watachapisha wachangiaji na isitoshe wengi tumechangiaPropaganda hizo wewe, pesa walikuwa nayo. Hiyo kuchangisha ndani ya saa 1 ni propaganda, shtuka.
Propaganda hizo wewe, pesa walikuwa nayo. Hiyo kuchangisha ndani ya saa 1 ni propaganda, shtuka.
Yani hiyohiyo buku7 uigawe na uchangie mwanacdm?Hata sisi wateja wa vitabu vya Yericko na wale majirani tumemchangia bila kujali tofauti zetu za kiitikadi.
Kuna maisha baada ya siasa bwashee!
Hivi umeiacha kauli mbiu yako ya maendeleo hayana chama?Hata sisi wateja wa vitabu vya Yericko na wale majirani tumemchangia bila kujali tofauti zetu za kiitikadi.
Kuna maisha baada ya siasa bwashee!
Mimi nimechangia 35,000.Propaganda hizo wewe, pesa walikuwa nayo. Hiyo kuchangisha ndani ya saa 1 ni propaganda, shtuka.