Lakini baada ya magomvi ya marando na mrema, wananchi waliupoteza moto wa mageuzi.
Tabora wamekata tamaa kabisa, hasa vijana.. Kinachochangia kudumaa ni hali mbaya ya miundombinu ya mkuo wa Tabora, pamekua kama kisiwa, wananchi wake hawana uwezo wa kwenda mkoa mwingine kwa urahisi, barabara kuu zote hazina lami..
Pia hali ya maji ni mbaya sana.. Hata wakazi wa mijini wanatumia maji machafu kwa matumizi ya kila siku..
Pia vyanzo vya ajira mkoani hapo ni haba, kwani hakuna kiwanda hata kimoja, ukiondoa nyuzi kilichokufa...
Mawasiliamo ya redio na tv pia ni haba, kwani wanasikiliza tbc, rfa, vot, na cg fm, zote zinatoa fever kwa CCM, pia tv inayopatikana hapo ni tbc tu..
Magazeti yanafika baada ya siku mbili..
Vijana wamejiajiri kwa kuendesha baiskeli na pikipiki...
Upande wa elimu, mkoa upo nyuma sanaa.. Vijana wengi wanaishia darasa la saba, na sasa kata...
Upande wa utamaduni, mkoa wa tabora umetekwa sana na mwarabu, tangu enzi za utumwa, na dini yenye watu weng ni uislamu..
Wananchi wake wanaamini sana ushirikina ili kuleta utajiri..
Me kama mkazi wa Tabora ninasisitiza pia Chadema waje na operation Sangara ya tarafa kwa tarafa..
Namkumbuka kwenye kampeni za mwaka jana, Dr Slaa alichelewa sana kuanza kampeni, na wananchi wengi wakazira na kuondoka, nakumbuka alifika mkutanoni saa 12:40 za jioni na akamwaga sera haraka haraka, bila watu kumwelewa..
KARIBUNI CHADEMA MKOANI KWETU TABORA vijana tunataka mabadiliko..
Tabora wamekata tamaa kabisa, hasa vijana.. Kinachochangia kudumaa ni hali mbaya ya miundombinu ya mkuo wa Tabora, pamekua kama kisiwa, wananchi wake hawana uwezo wa kwenda mkoa mwingine kwa urahisi, barabara kuu zote hazina lami..
Pia hali ya maji ni mbaya sana.. Hata wakazi wa mijini wanatumia maji machafu kwa matumizi ya kila siku..
Pia vyanzo vya ajira mkoani hapo ni haba, kwani hakuna kiwanda hata kimoja, ukiondoa nyuzi kilichokufa...
Mawasiliamo ya redio na tv pia ni haba, kwani wanasikiliza tbc, rfa, vot, na cg fm, zote zinatoa fever kwa CCM, pia tv inayopatikana hapo ni tbc tu..
Magazeti yanafika baada ya siku mbili..
Vijana wamejiajiri kwa kuendesha baiskeli na pikipiki...
Upande wa elimu, mkoa upo nyuma sanaa.. Vijana wengi wanaishia darasa la saba, na sasa kata...
Upande wa utamaduni, mkoa wa tabora umetekwa sana na mwarabu, tangu enzi za utumwa, na dini yenye watu weng ni uislamu..
Wananchi wake wanaamini sana ushirikina ili kuleta utajiri..
Me kama mkazi wa Tabora ninasisitiza pia Chadema waje na operation Sangara ya tarafa kwa tarafa..
Namkumbuka kwenye kampeni za mwaka jana, Dr Slaa alichelewa sana kuanza kampeni, na wananchi wengi wakazira na kuondoka, nakumbuka alifika mkutanoni saa 12:40 za jioni na akamwaga sera haraka haraka, bila watu kumwelewa..
KARIBUNI CHADEMA MKOANI KWETU TABORA vijana tunataka mabadiliko..