Katiba mpya ni kisingizio tu yeye akishaadumbukia kwenye hizo ruzuku ndo basi tena zinazobaki ni porojo tu na ngonjera maukoto ndo swala la msingiTatizo letu watu ni wajinga jinga sana. Chama ambacho kimejitahidi angalau Tanzania kuna Chama cha upinzani kinacho tusaidia kupata katiba mpya wewe ndiye una jikita kupiga madongo. Vyama vingine vyote viko wapi?? jiulize hili kabla ya kuandika vitu vya ajabu
Bora mimi ninayejaribu na huko unakokuita wewe "kufeli."Honestly ukiniambia suala la uchaguzi hata sijui unaniambia Nini. Hiyo unayosema cdm kujipanga huko chini si ndio hiyo tunaona mawakala wake wakizuiwa kuingia vituoni? Si ndio hiyo tunaona wanaenguliwa kihuni kuwa hawawezi kujaza fomu za uchaguzi? Hiyo kuwapanga wananchi kulinda kura zao, si ndio wanaishiwa kubambikiwa kesi kuwa wanaharibu uchaguzi? In short bro uko kinadharia zaidi.
Hiyo unayosems kupata hela, wanapata wapi wakati hata ukipitishwa mkeka watu hawawezi kufikia 50m? Machafuko au mapinduzi ya kijeshi pekee ndio suluhu. Hizo njia zako nyingine zilishafeli, naona ni kama unafurahisha genge.
Bora mimi ninayejaribu na huko unakokuita wewe "kufeli."
Hiyo njia yako ya kusubiri "machafuko na mapinduzi", na yasipotokea unabaki tu hivyo hivyo na njia yako ya kuzira, kama mtoto anayejifanya kuzira kula cha kula, na akiachwa, anakuja mwenyewe kula bila kuhimizwa!
Unasusia uchaguzi, CCM anasherehekea ushindi wa chee kabisa, unaendelea kulialia hivyo hivyo na kusubiri vurugu au mapinduzi ambayo hayatokei.
CHADEMA hata siku moja hawajaweka juhudi za kufanya ninayopendekeza kwa ufanisi mkubwa. Ndiyo, ni kazi ngumu, lakini ni kazi inayowezekana kufanyika wakitaka kuifanya vizuri.
Hata hizo "vurugu na mapinduzi" na unavyovishabikia wewe, husemi vitaanzia wapi, unasubiri tu vitokee vyenyewe!
Ukiacha chadema watu mtaani wanaona 24/25 iwe kesho ili waipeleke CCM ilipokwenda TANU uzee wa CCM unaigharimu TanganyikaNa Mwl Udadis, Tarime
Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.
Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.
Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.
Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.
Zilijaribiwa lini na wapi zikafeli?Narudia tena mkuu hizo njia zako zimeshafeli, ni wendawazimu kuendelea kushiriki chaguzi zisizoheshimiwa ukitegemea matokeo tofauti. Tujadili njia nyingine, sio hizo za kupotezeana muda. Na ukiona hao cdm hawafanyi utakavyo wape mbinu hizo chama kingine wazitumie kuing'oa ccm. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio njia pekee. Imeisha hiyo.
Mkuu anzisha chama utumie hizo mbinu zako uchukue nchi. Mimi naamini kwa tulipofikia machafuko au mapinduzi Pekee ndio yataleta mabadailiko, sio hiyo njia ya kura kwa hizo mbinu zako za kinadharia zaidi. Yatatokeaje hilo ni jambo jingine. Na hayo mipango yake sio ya hadharani.Zilijaribiwa lini na wapi zikafeli?
Lakini hapo ulipo, siku zote unaimba wimbo huo huo wa "vurugu na mapinduzi", lakini hata kueleza yatatoka wapi huwezi!
Mimi sijakuona hata siku moja ukifanya mipango ya kuanzisha vurugu, wala kwenda pahusika kuamru kufanyike mapinduzi; lakini unakuwa na uthubutu wa kuja hapa na kunitaka nianzishe chama?Mkuu anzisha chama utumie hizo mbinu zako uchukue nchi. Mimi naamini kwa tulipofikia machafuko au mapinduzi Pekee ndio yataleta mabadailiko, sio hiyo njia ya kura kwa hizo mbinu zako za kinadharia zaidi. Yatatokeaje hilo ni jambo jingine. Na hayo mipango yake sio ya hadharani.
Na Mwl Udadis, Tarime
Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.
Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.
Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.
Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.
Bro acha kupanick, mbinu zako zimeshafeli. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio njia Pelee ya kuleta mabadaliko ya kweli hapa nchini. Kufanyika ama kutofanyika hilo ni jambo jingine. Mapinduzi hayaletwi ni viongozi wa dola, bali wa vyeo vya chini.Mimi sijakuona hata siku moja ukifanya mipango ya kuanzisha vurugu, wala kwenda pahusika kuamru kufanyike mapinduzi; lakini unakuwa na uthubutu wa kuja hapa na kunitaka nianzishe chama?
Mbona unazidi kuwa mtu wa hovyo kiasi hiki?
Unajitoa ufahamu kweli kweli unapohimiza mapinduzi upande mmoja, halafu hapo hapo unasahau kuwa hao unaowalilia kuleta mapinduzi ndio hao hao unaolalamika kutumiwa na CCM kuwafanya wabaki madarakani..
Unataka vurugu zianzishwe na akina nani, wakati huo huo waTanzania hao hao unawalalamikia kuruhusu kutopambana na 'Dola' inayotumiwa na CCM kuwabakisha madarakani?
Sasa hao watakaoleta vurugu na mapinduzi wrewe umewaficha wapi, na wanasubiri hadi lini ndipo uwaamrishe wafanye hayo unayotegemea wewe?
Kwahiyo ndio unaishaur chadema hivyo.....yaani tuache ajenda ya chadema digital....chadema ni msingi....chadema grassroot na uchaguz ndani ya chama na kusajiri wanachama upya kielectronic tukimbizaneMAPANZI YAKIWA YANAZIPIGA KUNGURU ANA KAZI MOJA TU NI KUYATAFUNA YOTE KWA PAMOJA
Mtu mwenye akili safi kabisa unapoamua kwa maksudi kabisa kukomalia jambo ambalo wewe mwenyewe unaona wazi kuwa halipo, watu wanaokufahamu itabidi wabaki tu wakikushangaa.Bro acha kupanick, mbinu zako zimeshafeli. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio njia Pelee ya kuleta mabadaliko ya kweli hapa nchini. Kufanyika ama kutofanyika hilo ni jambo jingine. Mapinduzi hayaletwi ni viongozi wa dola, bali wa vyeo vya chini.
sijui kipi bora kupambana na mwambukusi na sauti ya tanzania au mtafunwe kwa pamoja na ccm au mpambanie agenda mahususiKwahiyo ndio unaishaur chadema hivyo.....yaani tuache ajenda ya chadema digital....chadema ni msingi....chadema grassroot na uchaguz ndani ya chama na kusajiri wanachama upya kielectronic tukimbizane
Hivi kweli eeh! Lema amekanyaga waya gani hadi kufikia hatua ya kuwa bubu na zoba kiasi hiki?Nampongeza pia Lema kwa kukaa kimya
Sio tabia njema kuongea huku unakulaHivi kweli eeh! Lema amekaga waya gani hadi kufikia hatua ya kuwa bubu na zoba kiasi hiki?
Yaani nione aibu kwa kutoamini unachoamini ww? Au ww ndio SI Unit ya aibu Nini? Ninachoamini sihitaji kuungwa mkono na ww au wengi wa aina yako. Huo ndio ukweli ninaoamini baada ya hizo nadharia zako kufeli. Imeisha hiyo.Mtu mwenye akili safi kabisa unapoamua kwa maksudi kabisa kukomalia jambo ambalo wewe mwenyewe unaona wazi kuwa halipo, watu wanaokufahamu itabidi wabaki tu wakikushangaa.
Sioni chochote unachokomalia hapa, mbali ya kuona tu aibu kukubali kwamba unachong'ang'ania hakina maana yoyote.
Duh...!.
P
Inaonyesha hata maana ya maneno hujui, ila unayatumia tu hivyo hivyo.Yaani nione aibu kwa kutoamini unachoamini ww? Au ww ndio SI Unit ya aibu Nini? Ninachoamini sihitaji kuungwa mkono na ww au wengi wa aina yako. Huo ndio ukweli ninaoamini baada ya hizo nadharia zako kufeli. Imeisha hiyo.
Kwanza kabisa Mbowe atoke kwenye hiko kiti ni muda wa watu wenye misimamo kama wakina John Heche wapewe kiti. Nakuahidi wakifanya hivyo ikifika January 2024, CCM itakuwa inakimbiwa na wanachama wake jinsi huku uraiani patakuwa hapakaliki.Na Mwl Udadis, Tarime
Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia fulani ya mkato, ni mawazo haya yanawaaminisha kuwa ndani ya miezi 24 ijayo yatatokea maajabu fulani kisha wao watashinda Uchaguzi. Fikra hii haina tofauti na kuamini mazingaombwe.
Badala ya kufanya kazi hivi sasa Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wanagombana kwa madai kuwa Mbowe amechukizwa kitendo cha kundi la Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha mikutano bila kumshirikisha yeye na kisha kutaka kuwashirikisha Chadema katika hatua za mwisho. Msingi wa madai ya kundi la Mbowe yamejengwa katika tamaa ya fedha na ni uthibitisho wa namna baadhi ya viongozi wa Chadema wanavyotumia siasa kujinufaisha badala ya kujenga chama chao.
Wakati huo huo Ndugu Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama yeye bado yuko Ubeligiji akidai anajipumzisha kidogo baada ya kufanya mikutano katika Mikoa Mitatu. Japo habari za chinichini zinadai yuko katika matibabu kutokana na kuzorota kwa Afya ya akili bado wataalam wa siasa na mikakati wataungana na mimi kuwa Chadema imelala na inakisindikiza Chama cha Mapinduzi katika ushindi wa zaidi ya Asilimia 90.
Ni ukweli usiopingika kuwa ulozi au "Abracadabra" kwenye siasa haipo, hivyo Chadema inapaswa kufanya kazi kama CCM wanavyofanya yaani kufanya ziara, kutatua matatizo au kutoa njia mbadala, kusikiliza watu wanasema nini badala ya kujikusanya katika "WhatsApp group" na kutoka na maazimio ya kihuni ambayo wachangiaji wanayatoa wakiwa bar ya triple seven Mikocheni.