Kama kiongozi ni lazima awe karibu na watu wake!!Lema tunamkubali Arusha kutokana na ukaribu wake na wapiga kura wake,siyo kwa kujenga shule,hospitali wala barabara!! Ni bora tu tumkumbushe Mh diwani/mwenyekiti huyo kuwa wapiga kura wake wame m mmisi!!tumuombe atenge muda kidogo akawaone na kuja matatizo yao,inawezakuwa wanataka tu kumsalimu!!who knows? Tusijibomoe jamani, Peeeeopleeeees!!!!!