Ccm waendelee tu na kapeni zao za giza to giza ili kuhalalisha matumizi ya fedha ila kata hyo inakwenda cdm,natamani kamanda mawazo ndiyo apewe nafasi ya kupeperusha bendera ya chadema ndani ya kata yake ya zamani japo we need him huko aliko now maana kazi anayoifanya kanda ya ziwa ni kubwa zaidi ya kazi ya udiwani