CCM yaendeleza ubabe dhidi ya serekali za wananchi

MrFroasty

JF-Expert Member
Jun 23, 2009
1,195
592

Majuzi nilitoa thread kuonesha suala la Richmond jinsi matakwa ya wabunge yalivyotupiliwa mbali, na watu kufanya wanavyotaka.

Hii itakuwa ni thread ya nyengine, jinsi chama cha CCM kinavyoendeleza ubabe dhidi ya matakwa ya wananchi.Hivi kelele zote zile za kuheshimu katiba ndio hizi za kujadili na kuingilia kati maamuzi ya vyombo vya kutunga sheria kwa kuwatisha wawakilishi au wabunge?

Hadi lini wananchi tutaendelea kuona wajumbe wetu wakipewa mikwala wasifanye maamuzi sahihi?
HTML:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…