CCM yabaini mchezo mchafu Arusha mjini

Ni kama znz vile, kima jecha & lubuva, wanataka kukataa kura za ubunge wakati za urais walizikubari na kuwapongeza wana arusha!
 
Hahahaahahah labda waliwasajili wakazani watapgia wakwao wameanzaona hawako upande wao wameamua kuchoma utambi...
 
Heeee.. Mi naona hapa uzi unaanzishwa na C.D.M unachangiwa na CDM . progaganda za kisasa hizi.
Hii habar si ya kweli hata kidogo.
 
Hivi gazeti la uhuru bado lipoga! Mie nilikuwa nasoma vikatuni vya Polo na Chakubanga tu
 

Duh hicho chanzo cha habari!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…