CCM ya watanzania, Chadema ya wateule

nyooooooooo
 
Dah ! Kweli hela ya Lumumba inaliwa kijinga sana ! Yaani we jiandikie ujinga wowote tu , halafu nenda ofisi ndogo , siku imeisha ! Naomba kuuliza swali dogo , Hivi maudhui ya Uzi yana uhusiano wowote na Elimu ya Mwandishi ?
 
Kucomment mada uchovu kama hizi unaweza ishia kupigwa BAN.
 

kwa kigezo hicho cha ubunge,inamanisha mikoa yote hiyo uliyoitaja hakuna mbunge wa chadema? Hujitambui wewe,hebu njoo Simiyu ujionee. Kuna wabunge watatu wa majimbo ya Maswa(2) na meatu(1). Usiwe unaropoka tu wakati kila uchaguzi mdogo mnapigwa chali na hasa wa vijiji.
 
Hata anguko la KANU, wanachama wake hawakuwai kuwaza au kufkiria kama ipo cku watabaki kuwa wapinzani ila leo hii tunawaona wameikubali hali na majuto mengi ya kuwapuuza wakenya na kuwabeza, CCM nayo kama KANU sikio la kufa halickii dawa.

Hata Rupia Banda hakuwai kuwaza kabsa kama angeshindwa na Satta.. ni mnafiki pekee anayeweza kupuuza mageuzi yaliyopo na yanayoendelea kila kukicha Tanzania..

Wenye akili CCM wameshaanza ku smell changes na unaweza hata kuona wameacha zile kauli za kipuuzi na kebei ila wendawazimu ambao wanaona chini ya pua zao na vipofu wa kesho ndo hawa wanakuja na thread za namna hii.
Hali ni mbaya watu wamechoka kupuuzwa kila mwenye akili na macho anaona ila mwenye macho akila hakuna ataona ila kung'amua na kuelewa anachoona kamwe hawezi!
 
ccm mnajifariji tu... jipe moyo huo c mbaya bt kumbuka kata za uchaguzi zjazo pamoja na kalenga ya mgimwa zinachukuliwa na cdm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…