Wakuu salama? naomba kuuliza tu.
Hivi mijadala mingi ninayoiona humu,kwanini nahisi shida ni chama kipi kitachukua madaraka na si Mkuu wa nchi atakuwa nani?
Chama kinaweza kuwa kizuri, lakini kama hakina mtu anayestahili si itakuwa matatizo?
Na kama huyu mtu ambaye kila m TZ anaona anafaaa, ni lazima apitie chama chake?Si anaweza kuhama akagombea kupitia chama kingine?
Naangalia mfano wa JKN mbona ana credit za kutosha kutoka kwa karibu kila m TZ?
Au ina maaana chama kikiisha chukua madaraka hata kiwe na rais mbovu hiyo sio shida?
Nadhani ingekuwa busara utaifa na mtu anayeweza kutoa maamuzi mazuri kwa usalama na maendeleo ya nchi vikawa mbele kuliko vyama
Natanguliza kuomba msamaha!
Wengine siasa hatuielewi vizuri SANA.
Hivi mijadala mingi ninayoiona humu,kwanini nahisi shida ni chama kipi kitachukua madaraka na si Mkuu wa nchi atakuwa nani?
Chama kinaweza kuwa kizuri, lakini kama hakina mtu anayestahili si itakuwa matatizo?
Na kama huyu mtu ambaye kila m TZ anaona anafaaa, ni lazima apitie chama chake?Si anaweza kuhama akagombea kupitia chama kingine?
Naangalia mfano wa JKN mbona ana credit za kutosha kutoka kwa karibu kila m TZ?
Au ina maaana chama kikiisha chukua madaraka hata kiwe na rais mbovu hiyo sio shida?
Nadhani ingekuwa busara utaifa na mtu anayeweza kutoa maamuzi mazuri kwa usalama na maendeleo ya nchi vikawa mbele kuliko vyama
Natanguliza kuomba msamaha!
Wengine siasa hatuielewi vizuri SANA.