CCM ushindi asilimia 100


Ccm kweli moto wa kuotea mbali
yaaan pamoja na maigizo wanayoyafanya wakina mbowe lakin bdo hali n tete

Viva ccm
 

Ushindi kwa CCM ni lazima tena ushindi wa kishindo
 
Mleta post yaani hata jero hupati Leo.
 
Sitawachagua wagombea viti mbalimbali wa ccm maana hakuna la maana watakalo lifanya tofauti na kuwapa wachina gesi kwa sababu ya fidia ya dogo Riz1 ya kukamatwa na madawa na kukwepa kunyongwa.
 
Matumaini ya mgonjwa hayo,wenzio wameona wameguna,hata kama unapewa posho hapo umeongopa na watakupiga chini muda sio mrefu
 
CCM hiihii ya mgombea baunsa? mwaka huu mabadiliko hayakwepeki
 
Mtoa mada ariwahi kuanguka chooni ivyo mopuuzen APA ni m4c tu
 

.........Wewe pia ni Great Thinker?? Unajua maana ya 100%?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…