CCM tuachieni Nchi yetu. Miaka 60 barabara ovyo!

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,959
95,282
Sisi wakaazi wa Kibaigwa wilayani Kongwa tunasema Sasa basi.

Miaka 60 madarakani lkn BARABARA zetu zipo hovyoo kiasi hiki?

Kila siku mnajitapa tumejenga barabara za lami oooh mahospitali oooh shulee.

Tazameni jinsi tunavyo taabika sisi wapigaji kura namba moja hapa Tanzania kwa ccm.

Mbunge wetu Ndugai upo wapi mbona umeamua kutukimbia?

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…