Ccm na rushwa

Andrew Kellei

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2009
Posts
348
Reaction score
123
Kama katibu mkuu wa CCM alikiri kwamba kila mgombea ametoa rushwa ila wamezidiana uwezo,ina maana kwamba wagombea wote wa CCM waliopitishwa walitoa rushwa kubwa.Kama ndo hivyo CCM itatueleza nini tuwaelewe kama wanaweza kupambana na rushwa?
 
Kama katibu mkuu wa CCM alikiri kwamba kila mgombea ametoa rushwa ila wamezidiana uwezo,ina maana kwamba wagombea wote wa CCM waliopitishwa walitoa rushwa kubwa.Kama ndo hivyo CCM itatueleza nini tuwaelewe kama wanaweza kupambana na rushwa?



Nikweli ccm haina cha kutueleza kwa suala la rushwa, na inavoonekana ndio kimbilo lao hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…