Kama katibu mkuu wa CCM alikiri kwamba kila mgombea ametoa rushwa ila wamezidiana uwezo,ina maana kwamba wagombea wote wa CCM waliopitishwa walitoa rushwa kubwa.Kama ndo hivyo CCM itatueleza nini tuwaelewe kama wanaweza kupambana na rushwa?
Kama katibu mkuu wa CCM alikiri kwamba kila mgombea ametoa rushwa ila wamezidiana uwezo,ina maana kwamba wagombea wote wa CCM waliopitishwa walitoa rushwa kubwa.Kama ndo hivyo CCM itatueleza nini tuwaelewe kama wanaweza kupambana na rushwa?