kwan clouds ndo radio pekee ya kukufanya ufanikiwe? hv wakina mbaraka mwishehe,remmy ongara na wengne mbona tanzania ilikuwa inawajua kpnd hcho clouds ilikuwapo? wa kina mr ii sugu wametoka miaka ya tisini clouds ilikuwapo? tanzania kuna radio 15 kubwa acha zle ndogo ndogo haya kuna TV 10 kubwa leo ni bora nyimbo yako wakionyesha EATV unaonekana nchi 3 itakuwa clouds tv ambayo wako nyuma sana kwa graphic ukilinganisha na EATV leo wasanii wanaompgia magoti ruge ni wapuuzi wasio jitambua mbona cku hz kuna njia nying sana za kutoka kmuzk nje ya clouds ? leo kama wanamuona nick wa pili ni genus wakat ufahamu na upeo wake ni wakawaida sana wasanii wabadilike clouds imekuwa kama ccm empire ya sanaa kwa kpnd hiki wafanye nao mpango je wakisusa wote clouds watawapeleka wakina nan fiesta ?