Anzisha chama chako ndugu hata hawa chadema ni mafisadi tu kama sisiem,unajua kama mboe aliuzia chama mgari chakavu tena kwa bei kubwa,unjua kuwa zitto anayo gari aina ya hummer,unajua kuwa lema ni mwizi wa magari,unjua kuwa slaa ni fisadi wa ccbrt...if you need a support anzisha chama lako achana na hizi porojo zilizopo