Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,649
- 830,488
Malingalinga ni hali ya kuwa hobelahobela, mzobemzobe, bila utaratibu MBELE KWA MBELE
Tuna vitengo viwili vya propaganda hapa jukwaani, kitengo cha propaganda cha UKAWA hawa wanajitolea hawalipwi chochote ni wanamabadiliko, propaganda zao ni za kisera na kimfumo zaidi
Halafu tuna kitengo cha propaganda cha ccm... Hawa ni pasua hasa, wako kwenye payroll wanalipwa kuandika ujinga, hawajadili sera wala mfumo... Bali personal attacks.. Tena za kutunga hasa... Hawana uwezo wa kuandika chocolate bali wameandaliwa kwenye makaratasi nini cha kupost, na ndio maana wakishapost chochote huingia mitini kwakuwa hawana uwezo wa kukitetea walichopost na wakijaribu kufanya hivyo ni upuuzi mkubwa
Hiki ni kipindi cha mabadiliko wananchi wana mwamko wa ajabu wamejitambua, wamejifahamu, wanataka kitu kingine tofauti nje ya mfumo waliouzoea na kuwalemaza kwa miaka 50
CCM lazima walitambue hili, kwahiyo waache propaganda za kipuuzi na zisizo na mashiko kwakuwa baada ya uchaguzi maisha yapo, na dunia inaangalia kwa karibu kabisa LAKINI VILEVILE na Jamii Forums iwe makini isitumike vibaya....iwe makini na hili ongezeko la ghafla la 🆔 ambazo kwa asilimia 95 zinapost habari za viongozi wa UKAWA tena kwa njia ya kukejeli kutukana kukashfu na kuongea uongo na upuuzi wa kila aina
Tuna vitengo viwili vya propaganda hapa jukwaani, kitengo cha propaganda cha UKAWA hawa wanajitolea hawalipwi chochote ni wanamabadiliko, propaganda zao ni za kisera na kimfumo zaidi
Halafu tuna kitengo cha propaganda cha ccm... Hawa ni pasua hasa, wako kwenye payroll wanalipwa kuandika ujinga, hawajadili sera wala mfumo... Bali personal attacks.. Tena za kutunga hasa... Hawana uwezo wa kuandika chocolate bali wameandaliwa kwenye makaratasi nini cha kupost, na ndio maana wakishapost chochote huingia mitini kwakuwa hawana uwezo wa kukitetea walichopost na wakijaribu kufanya hivyo ni upuuzi mkubwa
Hiki ni kipindi cha mabadiliko wananchi wana mwamko wa ajabu wamejitambua, wamejifahamu, wanataka kitu kingine tofauti nje ya mfumo waliouzoea na kuwalemaza kwa miaka 50
CCM lazima walitambue hili, kwahiyo waache propaganda za kipuuzi na zisizo na mashiko kwakuwa baada ya uchaguzi maisha yapo, na dunia inaangalia kwa karibu kabisa LAKINI VILEVILE na Jamii Forums iwe makini isitumike vibaya....iwe makini na hili ongezeko la ghafla la 🆔 ambazo kwa asilimia 95 zinapost habari za viongozi wa UKAWA tena kwa njia ya kukejeli kutukana kukashfu na kuongea uongo na upuuzi wa kila aina