yani sisi watu wa arusha hata kama ingekua ni JK anaendesha yale Makatapiller yakujenga barabara chama kilichopo mioyoni mwetu ni chadema tuuuu... HATUDANGANYIKI
Waje na kuondoka kama watalii wengine. Nothing else!
waje tu!hata V4C ilizaliwa na kufa arusha
Wana Arusha! Kuleni nyama zote mkishindwa nyingine pelekeni nyumbani. Hiyo ni kodi yenu. Mwisho wa siku ninawaomba kama mlikuwa mmeichimbia CCM kaburi la meta sita, nendeni mkaongeze ziwe meta kumi na mbili ili isikae ijipindue upande wa pili. Inastahili kuozea ubavu mmoja tu! Hongereni wana Arusha! Hongera Mr. Lema kwa kusimama kidete pamoja na vitisho ambavyo CCM imeifanyia Arusha hadi dakika hii!
yani sisi watu wa arusha hata kama ingekua ni JK anaendesha yale Makatapiller yakujenga barabara chama kilichopo mioyoni mwetu ni chadema tuuuu... HATUDANGANYIKI
hahahahah kwani V4C ishajifia mkuu?mbona nimesikia ipo mwanza?
This is naked TRUTH meningitis!
Habari zilizopo ndani ya CCM Arusha zinadai kuwa muda si mrefu CCM ikiongozwa na mwenyekiti wao watatumia mwanya wa kufanya sherehe kwa mji wa Arusha kuwa jiji na kukabiziwa barabara kama njia ya kuwavutia wenyeji wa Arusha.
Inasemekana kuwa siku hiyo kutachinjwa ng'ombe wa kutosha mnajua wenyewe zitatoka kwa nani,ni hapo kwa rich wa monduli..mambo yote itakuwa hapo shekh amr abeid
karibuni muda utakapotangazwa,tutawajulisha
hahahahah kwani V4C ishajifia mkuu?mbona nimesikia ipo mwanza?
oooh samahani mkuu nilimix story ila nimepata updates wako misitu ya congo wanamazungumzo na muas joseph konyThubutuuuuuu! Mwanza hadi Mujahidina ni Chadema