CCM imeua/kuuza kiwanda na karatasi cha Mufindi na mitamho ikauzwa Kenya kinazalisha malighafi tunanunua karatasi Kenya

Wabunge wa Tanzania hawako serious mtu anasimama anasema Saloon ni kiwanda..yaani ni bora unambie Mama Lishe ndio kiwanda maana wanaprocess mchele uwe wali ila sio saloon.kumbe viwanda tulivyoahidiwa na saloon zipo
Mbunge kama yule unashindwa kuelewa kama ni kichaa au mwendawazimu.
 
sio mufindi paper mills tu, tanwat, na viwanda vya chai vya makampuni ya mufindi venye kutoa ajira kubwa mikoa ya njombe na irina navyo vimeuzwa kwa kampuni za wakenya serikali inaangalia tu. Huu uchumi wa viwanda ambavyo sisi ni spectators ni uchumi gani?
 
Na
Naona unachanganya mambo, Tanwat na viwanda vya chai "Stone valley" havijawahi kuwa vya serikali. Hivi vilimilikiwa na kampuni za Kingereza kwa hiyo kama ni kuuza hisa wamefanya hivyo kibiashara. Na kuonyesha shukurani Princess Anna alitujengea kwa msaada barabara ya Makambako to Songea
 
Kwa hiyo Nyerere asingetoka bila kuwekewa masharti yaliomkera?
 
Nadhani watu hawaijui CCM vizuri, CCM ni zaidi ya uijuavyo, ni zaidi ya unavyoifikiri, ina NGUVU kuliko unavyoifikiri

kuiondoa CCM ni safari kama ya WAISRAEL, inahitaji kujivika moyo wa UJASIRI na USHUJAA,

itafika mahali kilio cha watanzania juu ya CCM kitafika kwa MUNGU ( ni lazima) hapo ndipo CCM itaondoka na itasahaulika kabisa wengi watajaribu kuirudisha lakini hawatafanikiwa.

kwa sasa hivi sisi tuendelee kulia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…