Ccm ikishindwa.

GNA

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
246
Reaction score
72
Endapo kura ziki hesabiwa kwa uwazi na kuthibitika ccm imeanguka katika matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2015 itakuwa rathi kukubali matokeo hayo na kukabidhi madaraka ya nchi kwa chama kilicho shinda? Kama hakita kuwa rathi kufanya hivyo tufanye nini sisi wapiga kura?.
 
Hali halisi inavyoonekana mpaka sasa ni kwamba hawatakubali kiurahisi,na wako tayari kuiingiza nchi vitani kwa uroho wao wa madaraka.cha msingi ni watanzania wote tushikamane kupambana nao kwa njia zote hata kwa damu za maelfu ya watu kwani ccm kama ccm sasa hivi wako wachache wanachotegemea ni nguvu za dola.
 
wajalibu kukatalia madaraka watakiona cha moto,wataomba hifadhi nje za jilani,Mungu aepushe hayo make patachimbika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…