ccm wajuta kumfunga maranda kwani ndie mtu pekee alie waingiza watu wengi ccm kuwatoa chadema ila baada ya kumfunga maranda wenyewe wanamwita muasisiwa yalemakundi makubwa na matawi makubwa yamerudi kuwa makundi ya siasa hasa kuipigia debe cuf daada ya kuu
Lizwa kwanini hamkurudi chadema walisema chadema tuliipa nguvu na kufanikiwa kumtoa mbunge ambae sio mtanzania niraia wa burundi naushaidi upo lakini chadema walituzodoa nasi tuna wa zodoa
ccm wajuta kumfunga maranda kwani ndie mtu pekee alie waingiza watu wengi ccm kuwatoa chadema ila baada ya kumfunga maranda wenyewe wanamwita muasisiwa yalemakundi makubwa na matawi makubwa yamerudi kuwa makundi ya siasa hasa kuipigia debe cuf daada ya kuu
Huyo Maranda si ndio nasikia alielekezwa kutumia hela za EPA (zilizomfunga) kuisaidia CCM kule Kigoma? Tena kuna habari kwamba hata Walid Kabourou alinunuliwa kwa pesa hizo, na ndizo zilizomuondoa Chadema. CCM ni majambazi!
ccm wajuta kumfunga maranda kwani ndie mtu pekee alie waingiza watu wengi ccm kuwatoa chadema ila baada ya kumfunga maranda wenyewe wanamwita muasisiwa yalemakundi makubwa na matawi makubwa yamerudi kuwa makundi ya siasa hasa kuipigia debe cuf daada ya kuu