CCM hali tete,NEC ni tegemeo


Bahati mbaya sana kila hovyu wanalopanga linavuja kwahiyo hata likitokea inakuwa siyo News! Kura ya Maoni ..........chali wamebaki na Katiba pendwa yao wataizinduka kwenye vikao vyao vya Nec
 
Mimi naona chama chenu kingeandika barua ya kuomba kujiunga na ukawa ili tusimamishe mgombea mmoja wa uraisi na kuachiana majimbo ya uchaguzi! Hilo wazo muafaka au?????
 
Ama zetu ama zao...mwaka huu tutajua kama ccm ni chama au kichaka cha wala rushwa na mafisadi....
 
asante kiongozi mkubwa wa lumumba unayesimamia malipo ya vijana wa mitandaoni , naomba nipate nafasi ndani ya uzi wako kumuonya mzee lubuva kwamba , asithubutu kuchakachua chochote , aibu atakayopata haitakuwa na mfano !
 
ni lazima ccm wajipange hasa kwa ngazi ya urais

too late ! dawa pekee ni kuahirisha uchaguzi , kitu ambacho kitasababisha pachimbike , usalama ni kuachia madaraka na kutokomea , hii nchi ni yetu sote mkuu .
 

CCM hawawezi kuumiza kichwa wakati uchaguzi wenyewe haupo mwaka huu.
NEC itatangaza kuahirisha uchaguzi mnamo tarehe 20 June.

Na uchaguzi utafanyika tarehe 30 MAY,2016.
 
Mtarukaruka kama bisi ila mwisho mnaishia kutafunwa...
Achana na lugha za mateja hizo! Unapoandika uwe na malengo na sio kukurupuka. Taabu ya nyie wahitimu wa shule za kata ni kwamba hamkufundishwa jinsi ya kujenga hoja makini na ndio maana mnaishia na vijineno vya kwenye kanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…