CCM beki hazikabi

..mkuu umetisha...suluhu ya ccm kusulubika ndo hii
 
CCM wanajua kushinda uchaguzi kwa mbinu yoyote ile. Wao sio kama CHADEMA wanaofurahia mikusanyiko ya wasikilizaji wa hotuba zao. Ninaifananisha CCM na timu ya football inayoshinda mechi kwa kufunga magoli kwa mchezo usiovutia wakati CHADEMA ni sawa na timu inayocheza mchezo mzuri uwanjani lakini inaishia kufungwa al maaruf CHENGA TWAWALA.
 
..mkuu umetisha...suluhu ya ccm kusulubika ndo hii

Ni mara nyingi sana kiranja wangu nimekuwa nasikia hutu tuneno tunakokasirisha....
Zamani kipindi hicho kalamu nyekundu na stapler ikitakiwa iwe ofisi ya mwalimu mkuu tu nilikuwa nikisikia neno upinzani nadhani ni sawa na uhaini na kwamba mpinzani ni mtu asiyekuwa na shukrani na mema aliyoifanyiwa na serikali yake...

Alhabdulillah nimepata kaesposure uchwara na baadaye nakuja kugundua upinzani ni kitu tofauti, kwanza nachukizwa na matumizi ya neno mpinzani kwa maana ya tafsiri ya mtu anayetaka haki na usawa kwenye mambo muhimu na ya msingi kijamii...ni tusi kumwita mama yangu aliyeota malenge lenge mikononi kwa sababu ya kuchakazwa na jembe la mkono wakati akiikataa serikali ya CCM inayohubiri kilimo ni uti wa mgongo wa taifa huku hawajui kamusi zao kisiasa zikishindwa kumtambua mkulima ni nani!

Kwanini nisijiundie ibara yangu binafsi ya sheria na kumdefine rasmi mpinzani kama mtu anayeenda kinyume na matakwa ya msingi ya binadamu ambayo kwayo ndiyo njia aliyowarubuni nayo wananchi kwa slogan tofauti kuwakalia kimabavu?

Muda si mrefu watu watakuwa wamepata elimu ya uraia na watakuwa wanajitambua,na ndipo serikali ya CCM itang'olewa kama jino bovu. Binafsi siamini neno linaloitwa giza,huwa naita kukosekana kwa mwanga kwa muda na yeyote anayesema 'siwezi' abadili kauli aseme nimekosa namna ya kupata suluhisho!
 
Kuitetea ccm mpaka unywe viroba kwa akili ya kawaida huwezi chama kishaoza
 
Hao ni sikio la kufa mtu , wote waroho wa madaraka na rasilimali za nchi hii.
 
Jamani eee , mbona viongozi wetu walikuwa huko juzi tu na wakaibuka na hii mizigo ? Mnataka nini tena ?
 
Rio Ferdinand = Mwigulu
Nemanja Vidic = Nape

Unategemea nini hapo? Uchochoro huo!
 
UKiona hoja zinajibiwa matusi matusi inamaanisha uwezo wa kufikiri kwishiney haijalishi mtoa hoja ni chadema au ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…