Hivi kweli matangazo ya Mollel na mhindi wa Bushbuck yanakutisha,kwanza tangu lini umeanza kuifananisha Arusha na Morogoro.Umewahi kusikia mhindi kashinda hata nafasi ya udiwani ?.
Hivi kweli matangazo ya Mollel na mhindi wa Bushbuck yanakutisha,kwanza tangu lini umeanza kuifananisha Arusha na Morogoro.Umewahi kusikia mhindi kashinda hata nafasi ya udiwani ?.
Halaf hiki sio kipindi cha kulalamika, ni JINO kwa JINO na JICHO kwa JICHO,
MHINDI arusha kupata nafasi hata ya ujumbe mtaa ni sawa na PADRI ahubiri injiki mitaani huko SAUDIA, labda huko maeneo ya njiro, huwezi jua
Hivi kweli matangazo ya Mollel na mhindi wa Bushbuck yanakutisha,kwanza tangu lini umeanza kuifananisha Arusha na Morogoro.Umewahi kusikia mhindi kashinda hata nafasi ya udiwani ?.