kwani komba ameleta mchango gani kwenye hii nchi, mchango wake upo kwa ccm tu na si kwa taifa zima. hivyo ukiweka mazishi kwenye tv ya taifa ambayo sio ya ccm utakuwa matumizi mabaya ya rasilimali. huyo albino aliyechinjwa aliwekwa kwenye luninga?
Nyie uvccm njaa zitawaua pumbavu zenu huyo siyo mstaafu ni aliyefukuzwA kwa uwizi wa hela za watz .....
Anyway mkuu wa hiyo wilaya mbona simwoni mpka leo hApo ?Au madereva wamemzuia?