Come to my office as others. The point is to help others and 'm not searching for customers.
Ndugu, is this your definition of "help"??...kweli?? yaani kuja in the Forum kutangaza bidhaa na kuweka contacts??..
Sionekani katika forum kwa muda sasa lakini believe kuna watu hapa wanajua 'KUSAIDIA'..yaani ushauri mzuri, kuelekeza watu sehemu za vipimo bora, matibabu n k bila hata Consultation fee.
Hao ndio wanaosaidia.Labda nitumie lugha ya kiswahili ndugu...hakuna sehemu duniani unaweza kuweka bidhaa na gharama halafu unapoombwa kutoa maelezo juu ya kile kile ulichokisema unakimbia, na kutoa majibu mepesi(YASIYO NA MSINGI).
Jifunze kusoma, na kujibu maswali kwa UFASAHA, si lazima ujue kila kitu, lakini utaheshimika iwapo utatafuta kufahamu zaidi na kukubali ulipo na upungufu/mapungufu, mkuu.
Saratani, haitibiwi kimchezo mchezo kama usemavyo na ndiyo maana nikakueleza eleza mechanism of action ya hiyo dawa yako, katika baadhi ya saratani nilizokwisha kutaja.
Pili, Hypothetically speaking...hata kama ingekuwa inatibu, ungeeleza ni kwa kiasi gani yaani dosage mtu anapaswa kutumia hadi kupona, KUMBUKA SARATANI hutibiwa kutokana na stage of disease!
Tatu,Kuna mdau akisema eleza mahali ulipo ufuatwe kwa hayo 'maelezo yako cheap' lakini imekuwa ngumu kufanya hivyo.
The bottom line is HAKIKISHA unajizatiti kielimu, maarifa n.k kabla ya kuleta matangazo ya "dawa" katika forum.Achana na mambo ya copy and paste information.
Anyway, it's educational forum tusifanye majibizano.