CAMFED Tanzania

Joined
Sep 9, 2014
Posts
59
Reaction score
21
Kama mwezi wa sita hivi walitangaza kazi ya Officer mkoa wa Iringa kwa hakika vigezo vyote nilikuwa navyo ila mpaka sasa kimya! Vp kuna mwenye taarifa yeyote juu ya hawa jamaa.
 
Only shortlisted will be contacted

Hahahaha, we jamaaa utaua wenzio. Wengine huspecify if u are not contacted two weeks after the deadline consider ur application unsucsessful ila hii ya only shortlisted candidates will be contacted watu wengi hatuielewagi cjui
 
Hahahaha, we jamaaa utaua wenzio. Wengine huspecify if u are not contacted two weeks after the deadline consider ur application unsucsessful ila hii ya only shortlisted candidates will be contacted watu wengi hatuielewagi cjui
Hahahaha nadhani hiyo ya kwako ya if u are not contacted two weeks after the deadline consider ur application unsucsessful ni nzuri maana haimpi mtu matension kama ya only shortlisted will be contacted maana unaweza ukawa unawaza eti bado hawajashortlist ila hiyo ya wiki mbili hujasikia elewa haumo ndiyo standard kusema ukweli
 
Aseeee.........vijana mna kazi ngumu sana.
 
Daah kwa hiyo ndo nshatemwa! Mbona job description ilikuwa inanihusu kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…