farisayo 0766633753 naomba unichekisikuwa nina maana ya kulalamika nilikua nashangaa kuona mfumo walioutumia kuchagua waliopita thats all ila sio kesi niko kwenye ajira rasmi maana naona wengi wenu mme comment kama kwamba tunavita ...ila pia ni changamoo ...niwashukuru wale mlonipa majibu mazur ya kunifanya nielewe mbinu zao ila nyie mazuzu endeleeni na vumbi enu ndio maana hampati kaz na hata mkiitwa kwenye oral interview hamchaguliwi kwa kuwa mna kaul mbaya na hata mkijibu mnajibu vibaya...ASANTENI WANA JAMVI
Mkuu masuali yaliyoulizwa kipindi kile, hayatoulizwa awamu hii, jamboamsingi uwe tu na IQ kubwa mithili ya KIM JONG UN. (Utani).farisayo 0766633753 naomba unicheki
Hakuna kitu kibaya kudesa interview!! Just be you!! Cha msingi make sure unajua vitu kuhusu mambo ulosomea na Pccb!! Majibu mengine yanakujaga automaticallyJaman mtusaidie TUJUE hata tunapitia pitia wap
Etieeh... ahsnte sanaHakuna kitu kibaya kudesa interview!! Just be you!! Cha msingi make sure unajua vitu kuhusu mambo ulosomea na Pccb!! Majibu mengine yanakujaga automatically
Safi sana upo chanya mnoHakuna kitu kibaya kudesa interview!! Just be you!! Cha msingi make sure unajua vitu kuhusu mambo ulosomea na Pccb!! Majibu mengine yanakujaga automatically
Hakuna kitu kibaya kudesa interview!! Just be you!! Cha msingi make sure unajua vitu kuhusu mambo ulosomea na Pccb!! Majibu mengine yanakujaga automatically
Umeona eehKudesa kupo Kwenye kila Jambo wakati ukijiandaa lazima uwe na shahuku kua kuna moja na mbili ya uwelekeo wa maswali,sasa utajiandaa Vipi hata hujui unatakiwa upitie wapi