Call for Interview ya PCCB Majanga

farisayo 0766633753 naomba unicheki
 
Hakuna kitu kibaya kudesa interview!! Just be you!! Cha msingi make sure unajua vitu kuhusu mambo ulosomea na Pccb!! Majibu mengine yanakujaga automatically

Kudesa kupo Kwenye kila Jambo wakati ukijiandaa lazima uwe na shahuku kua kuna moja na mbili ya uwelekeo wa maswali,sasa utajiandaa Vipi hata hujui unatakiwa upitie wapi
 
Babu we Acha tu kulalamika we omba uzima tu mambo ya ajira waachie wenyewe maana ajira zote %kubwa ni za mchongo yaani mnaenda kufanya interview lakin tayari kuna watu wapo kazini wanaendelea na kazi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…