Call for Interview ya PCCB Majanga

farisayo

Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
9
Reaction score
2
Kwa kweli sijawaelewa hawa ndugu zetu wamezingatia vigezo gani kuwapitisha watu kwenye interview baada ya aptitude test, kwani kama wangekuwa wamezingatia ufaulu wa marks za juu hakika wengi wa hao walioitwa wasingepita. Mfano mzur mimi nimepata marks 65.5 sijaitwa kwenye interview yao ila kuna watu kibao wamepata alama 50 wameitwa kwenye interview labda wadau kwa mwenye ufaham atujuze sijawaelewa mimi hawa jamaa kabisa.

Nimejaribu kuattach na matokeo ya aptitude test na walioitwa kwenye interview ili tueleweshane vizur zaid jamaaani
 

Attachments


sasa kama hujaelewa sungewauliza nani kakuambia kuwa waliokuwa wanawafanyia interview wapo huu wafate uwaulize watakuelekeza
 
Uclalamike sana jombaa kama ishapita mshukuru Mungu then subiria kingine alichokupangia.
Halaf kumbuka mchujo bado unaendelea kwa hiyo kuna watu watachomoka.
 


kwani wewe ulikuwa unatakaje?

Unalazimisha tuh hata kama bahati yako haipo hapo??

Sio lazima ukafanye kazi takukuru
 
Itakuwa walikuchunguza wakaona ni mtu wakulalamika sana utawasumbua ukikosa safari, vikao, posho na mgao wa rushwa no! hawa watakuwa wanaita bakshishi au labda hela iliyotolewa na raia mwema mwenye nia njema.
 
wameangalia ufaulu kwa kila field, mfano accountants ndo waliofaulu sana so passmark ya accountant ikawa 76, field nyingine passmark imefika mpaka 50
 
haya majibu sio ya busara kabisa, hayaonyeshi ukomavu bali utoto. Nadhani tujaribu kutoa majibu sahihi na kama hatuna basi tukae kimya, haya majibu mliyotoa ni ya Chitchat, tulitendee haki jukwaaa. Thanks
 
Mkuu kama vipi wewe kubali tu matokeo kama haujaitwa jipange sehemu nyingine uombe Mungu wako akusaidie maana kuna watu kibao tu tuliomba lakini majina hayakuwepo kwenye hiyo shortlist mlioenda huko sabasaba...hatulalamiki wala nini wewe wapswa kujua kua safari yako iliishia hapo ulipoachwa hata kama ulikua na vigezo vyote vya kuchuliwa...so get a life and find something else to do kazi hizo zinawenyewe...just get your sh*t together...Over..!!
 
Aptitude test huwa ni kupima iq za watu.sasa huwa wana passmark kulingana na career.engineer anatarajiwa kuwa na iq kubwa zaidi ya labda dereva au lawyer.ndo maana unaweza kuwa na marks kubwa katika kategori moja ila ucpofikia minimum ya hiyo kategori watakuacha tu.na kategori zingine wanaweza chukua hadi mwenye hamsini...huo ndo utaratibu fair wa kuchuja watu wengi.unaweza pia kugoogle za meaning of aptitude test.
 
Nyie ndo watu dizaini fulani mkiitwa kwenye interview inakuwa kama matangazo ya vifo yaani kitaa,wilaya, mkoa na nchi nzima wanajua wakati sasa kimbembe kwenye interview ukafeli sasa inabaki aibu kwako pale kitaa utwaambiaje wakati ulishafanya sherehe na kujifanya wewe PCCB: sasa ushauri wa bure ujakatwa mkono wala kichwa jipange na pambana na inshallah Mwenyezi Mungu atakujaza..
 
me mwenyewe LAPF imekula wametupigisha interview alafu wamewapigia cm wale wanaowahitaji tu hakuna hata kutoa kwenye media, hii nchi imeuzwa zamani, ikitokea nafasi za kishenzi ndo utaona zinawekwa hadharani vyema
 
sikuwa nina maana ya kulalamika nilikua nashangaa kuona mfumo walioutumia kuchagua waliopita thats all ila sio kesi niko kwenye ajira rasmi maana naona wengi wenu mme comment kama kwamba tunavita ...ila pia ni changamoo ...niwashukuru wale mlonipa majibu mazur ya kunifanya nielewe mbinu zao ila nyie mazuzu endeleeni na vumbi enu ndio maana hampati kaz na hata mkiitwa kwenye oral interview hamchaguliwi kwa kuwa mna kaul mbaya na hata mkijibu mnajibu vibaya...ASANTENI WANA JAMVI
 
poa mkuu nimekupata ..asante kwa ufafanuz mzur
 
itakuwa walikuchunguza wakaona ni mtu wakulalamika sana utawasumbua ukikosa safari, vikao, posho na mgao wa rushwa no! Hawa watakuwa wanaita bakshishi au labda hela iliyotolewa na raia mwema mwenye nia njema.

umetisha
 
ni hvi ndg yangu kule max zilikuwa hazmati kuna vigezo vingi wameangalia kwaiyo ucwaze mungu atakusaidia 2 walixema kabxa 2naangalia vgezo mhmu kama waloitwa xahzi kule hawaangalii maswali uliyowajbu bali wanaangalia vi2 vyote vyamhm pia wanakuchuza bila we kujua mwmbe mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…