Call for interview, TRA SACCoS

DONALD

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
275
Reaction score
35
Wadau salama,poleni na majukumu....!!!

Kuna post za TRASACCOS zilitoka kwa website yao na watu wakomba,akiwemo mdogo wangu...sasa wameanza kuita

kwaInterview,

Sasa naomba

Mwenye Taarifa za Glossy salary ya Assistant credit officer na pia Maswali ya usahili yakoje plsea naomba

aniupdate..............

Nawasilisha...!!
 
wanalipa vizuri tu,mwambie dogo afukuzie fulsa
 
Mkuu, wanaida kwa kutumia simu au maana katika wedsite sijaona kipya?
 
Maswali ya usahili/Interview yakoje plsea naomba aniupdate kwa anaefahamu..............!!!

........wanapiga simu@Mizzle87........!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…