Bvr yawakeshesha wananchi


Haikunifikia hiyo PM mkuu kamwe nisingeacha kujibu

Jaribu tena hapa mkuu. Gonga kwenye jina langu then nenda kwenye sehemu iliyoandikwa Send Message kisha andika title halafu andika ujumbe mwisho Submit. Moja kwa moja itakuwa imenifikia.

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Hii ni hujuma ya wazi kabisa.. Sio bahati mbaya hata kidogo.. ccm wanatafuta pa kutokea na wanacheza na utulivu na amani ya taifa hili.. Kuandikishwa kwenye daftari sio hisani wala ombi..
 
Reactions: BAK
Wahuni, wezi na mafisadi ndani ya Serikali hii dhalimu washakwapua pesa yao safi kiulaini kabisa, sasa wanatufanyia usanii tu eti "wanaandikisha wapiga kura" kwa kutumia vifaa vibovu!

Inahitaji miaka ishirini kuandikisha watanzania wote
 
Kama tungekuwa Serious enough wangewaandikisha hadi watoto wa miaka kumi na kuendelea ili muda ukifika wa wao kupiga kura System iwe inawatambua moja kwa moja ...
 

Mtwara hii apa mtaa wa magomen shuleni na leo ni siku ya kwanza, uezo wa kuandikisha kwa Machine moja kwa siku ni watu 100 wengine wamerud wameambiwa wajitaidi kesho kufika mapema
 

Attachments

  • 1430561060446.jpg
    122.5 KB · Views: 90

Kama hali ni mbaya kiasi hicho watu wengi watavunjika moyo wa kujiandikisha!

Si wengi watakuwa tayari kuacha shughuli zao wakashinde na kukesha kituoni.
 
Inahitaji miaka ishirini kuandikisha watanzania wote

Kwa mtindo huu huwa nawazaga hivi siku na Hii tanzania ikitumbukia kwenye matatizo kwa sababu ya hawa wapenda madaraka.tutakuwa wageni wa nani? Somalia au Sudani.
 

Ninachokiomba, pamoja na huo uzembe wa serikal kutojiandaa kikamilifu, watu wasije kata tamaa na kuacha kujiandkisha. Wakeshe 2 mpaka kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…