Busara za Polepole

Jamani ccm imechoka tokea enzi za tanu hadi leo. Mbona haujanukuu zile alizosema cheo cha mkuu wa mkoa na Wilaya ni matumizi mabovu alafu alipopewa akakubali . Mimi pole pole namchukulia kama mtu mnafiki wa kiwango cha juu.
 
Hakuna chama kwenye sura hii ya dunia kitatawala milele hata kama sio 2020 unachopaswa kujua ni kuwa iko siku CCM hakitaweza kuunda serikali na nwisho huo uko jirani kuliko wewe unavyojiaminisha
Huwa wanabadili chupa lakini mvinyo ni uleule,Jomo kenyatta Uhuru kenyatta.teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…