Wakuu natarajia kusafiri kutoka DAR kwenda Dodoma. Bus gani zuri na nauli ikoje? Kwa wenyeje wa Dodoma, hoteli gani nzuri yenye bei za kuanzia 20,000 - 30,000? Natanguliza shukrani zangu.
Wakuu natarajia kusafiri kutoka DAR kwenda Dodoma. Bus gani zuri na nauli ikoje? Kwa wenyeje wa Dodoma, hoteli gani nzuri yenye bei za kuanzia 20,000 - 30,000? Natanguliza shukrani zangu.
Wakuu natarajia kusafiri kutoka DAR kwenda Dodoma. Bus gani zuri na nauli ikoje? Kwa wenyeje wa Dodoma, hoteli gani nzuri yenye bei za kuanzia 20,000 - 30,000? Natanguliza shukrani zangu.
Panda kimbinyiko int coach bei kuna ya 22000 na 28000 kuna huduma ya wifi na soda plus biskuti/keki. Kwa dar safari ipo saa 12 ash,2 ash,3 ash,5 ash na 7 mchn. Shabby nayo ni nzuri,ABC pia nzuri. Kazi kwaki
Machame nauli 18000 hutonilaumu, wanajali wateja wanawaheshimu na kuwapenda kwao mteja ni mfalme, kuna la saa mbili na nusu pia la saa nne ukikosa labda panda kimbinyiko au ABC