Burundi officials and coup plotters sanctioned by US

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838


My take;

Nchi ya Marekani imeiwekea vikwazo vya kichumi nchi ya Burundi sababu kwamba raisi wa nchi hiyo Bw.Nkurunzinza ameongezewa muda wa kutawala, mbona sasa hata Kagame amebadilisha Katiba ya nchi na kutaka kuendelea kutawala na hajawekewa vikwazo vya Kiuchumi?
 
Tofauti kabisa.nkulunzinza analazimisha ndiyo maana unaona mauwaji Burundi.Kagame amesema ipigwe kura wanyarwanda wakichagua kumuongezea muda ataendelea wakikataa ataachia.ungesema Museveni kuwekewa vikwanzo ningekuelewa.ila pia wanayoiendesha dunia ndiyo waamuzi wa mwisho
 
Sikubaliani na kilichofanyika Rwanda lakini Kagame bado hajagombea kwa muhula wa 3, kubadili katiba pekee haiwezi kuwa sababu ya yeye kuwekewa vikwazo
 
kwa rwanda wananch walio wengi wameridhia kubatilisha katiba ili kumpa fursa kagame kuendelea kukaa madarakani lakn kwa burudi nkurunziza anatumia mabavu tu kuendelea kutawala nchn mwake pasipo ridhaa ya wananch pia.
 

kwan nkurunziza hakupigiwa kura na wananchi? suala si kupigiwa kura kama rwanda tunajua ukiwa against kagame kesho utakutwa unaelea mtoni umeuawa sasa utasema hapo kuna hiari? suala ni 2 term limit basi si zaid ya apo! kuna marais kibao wangeamua kubaki madarakan still wangeshinda uchaguz mbona wanaondoka!!!

general statement ni nchi zote za east africa zinatakiwa ziheshim term limit period!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…