Nadhani wakati umefika sasa Raisi Magufuli atakapokabidhiwa uenyekiti wa Chama afutilie mbali wafanyabiashara kuchukua nafasi za uongozi wa chama na kiwaengua kwenye mafasi za kugombea nafasi za udiwani na ubunge ili kutenga biashara na siasa. Mda wotewafanyabiashara wapatapo nafasi za uongozi wa umma ndo wanaitia nchi hasara kwakuwa mda wote hutafuta fursa za kibiashara na kuingiza serikali katika mikataba ya kiwanufaisha wao na hasara kwa taifa.