Hapo NDUGAI na yule NAIBU wake wajifunze kuwa na wao watakufa kama alivyokufa mzee wetu Mengi! Nakumbuka Siku tulia anazuia mapendekezo ya wabunge wengi kujadili mishahara!!!!???? Halafu nikasikia kuwa yeye in mlokole aiseee nilishangaa. Tulia kama utaona Uzi huu nashauri ujitakase na utubu kwa mola wako tofauti na hapo.......! mi sina zaidi cha kusema.