Usipoteze muda wako kwenda bunazi sec,kwanza ni shule mpya kwa kidato chs tano pili kwa olevel haifanyi vizuri kabisa.ina walimu wa ovyo ambao wanaoa wanafunzi....
Yaani mwanafunzi anatoka kwa mume wake ambaye ni mwalimu anaenda shule na viongozi wanachekelea tu hilo wanaona ni sawa.mfano alichokua anakifanya mwenyekiti wa UVCCM wilaya.
Kwa ufupi walimu wapo busy kugombea watoto wa kike.