Naomba ujibu maswali kadhaa;-
1. Kuku wako wanakuwa na uzito gani siku ya 35?
2. Vifaranga wako ni wa kutoka wapi?
3. Unawalisha chakula gani na cha kampuni gani?
4. Kuku 1000 wanakula mifugo mingapi mpaka siku ya 35 au mwisho wa week ya tano?
5. Je kuna virutubisho vyovyote unavyowapa kuku ili kuongeza uzito?
6. Bei yako ikoje?