British media regulator revokes Press TV's UK licence!

Waingereza wanahubiri wasichokitenda! Hiyo haiwasaidii kwani ukweli utaendelea kusemwa tu na wale wanaoufahamu!

Halafu utawasikia(Nchi za Magharibi) lazima nchi zote ziendeshwe kwa demokrasia huku kukiwepo uhuru wa vyombo vya habari. Wanatumia Twitter, facebook na media zao nyingine kuvuruga waarabu na hata waafrika, Wachina, Warusi, na huko amerika kusini kwa kisingizio cha uhuru wa habari lakini uhuru huo huo unapotumika kueleza jinai zao wanazuia. Halafu utawasikia walimwengu wengine wanasifia mara hoo!! nchi za magharabi ni 'mashuuri' kwa Demokrasia nakadhalika ya namna hiyo. Si mnakumbuka kisa cha kuuliwa yule mwingereza mweusi jinsi walivyoshughulikia mitandao ya kijamii ya habari.
 
tatizo la wairani ni kuwa kila walichonacho ni fotokopi ya mwingereza na marekani na Irani lazima ipigwe ijue Israel ni taifa la Mwenyezi Mungu kama maandiko matakatifu ya Biblia yanavyoelekeza...........

Ni makosa makubwa sana kuhusisha masuala ya imani za kidini katika mambo kama haya. 'Rutashubanyuma' sikutegemea kama ungeweza kufanya kosa kama hili la 'jinai' ya kidini.
 
Kabla ya kuanza kulaumu upande wowote, tujiulize ni sababu gani zilizopelekea Press TV kupigwa marufuku Uingereza ? (sababu zilizotajwa na serikali ya Uingereza) halafu tuangalie kama kuna uhalali wa hizo sababu kupelekea kufungiwa kwa TV hiyo.
 
baada ya muda itapigwa stop kurusha matangazo yake kwenye bara la ulaya kabisa
kama haiwafai,its a good move
 
Kiboko yao ni M British mwenzao George Galloway.
FF hawa ndio machampion wa utandawazi lakini wanajitahidi bado wana mechanism kuzuia vitu flani visiharibu watu wao.sisi tunapokea yote na negative effect kibao.
 
Before rushing to condemnation, have any of you actually looked at the material facts leading to PressTV's banning? They have obviously and clearly breached the (pre-existing) communications act and the sanction applied was one which was mandated for their offence under the act. It wasn't just brought in to victimise PressTV. All they'd had to do to avoid this result is be proffesional and follow the rules as laid out...

There were two cases, the first is laid out here and is worth a read; PressTV obviously acted in an irresponsible and ethically questionable manner...if it had been any Western news outlet doing that with, for example...Guantanamo detainees, there would be outraged reactions, not least from you guys. They refused to accept the penalty and it was while this case was being investigated that it emerged that editorial oversight for PressTV was being run from Tehran, which is against UK broadcast licence rules. They were offered options to either switch editorial control for Press TV's programming to the UK, the second to transfer
the broadcasting licence to Iran and they refused to do any of this so it's their own fault that they've been shut down and this is not a free speech issue.


Source
 
Kuna mmoja huyu sijui watamfungia vipi anaitwa Ishmahel Blagrove, huyu kijana ni msomi na anatengeneza documentaries, hata ile documentary ya "Blood Diamond" ni yeye aliitengeza kabla haijafanywa movie.

Huyu anaongea pale Speakers Corner Hayde Park. msikilize hapa lakini huwa anaongea lugha kali (at your own risk). Unaweza google Ishmahel Blagrove kwa mada zingine.

[video=youtube_share;ZnyFD8ux0YM]http://youtu.be/ZnyFD8ux0YM[/video]
 
Kiboko yao ni M British mwenzao George Galloway.

Watu wa 'dizaini' hii sasa hivi naanza kuwatilia mashaka, kwa sababu hayo anayoyasema hayatofautiani sana na Press TV waliyokuwa wakieleza. Hivyo nilitegemea ashikishwe adabu yeye kwanza kabla ya Press TV kwa kuwa msaliti wa Utawala wa Malkia. Ninachokiona hapa, Watawala wa Waingereza na hata Wamarekani wanawatumia akina Galloway kuwapumbaza raia wa nchi nyingine ili ionekane kuwa matendo yanayoyafanya(wao watawala) sio sahihi ili kupunguza hasira dhidi ya nchi zao (Raia wao) kutoka kwa nchi wanazokandamiza.
 

Walishindwa senate walipomuweka kiti moto, watu wanaosimama kwenye ukweli siku zote wanatisha!
 
Kuna mmoja huyu sijui watamfungia vipi anaitwa Ishmahel Blagrove, huyu kijana ni msomi na anatengeneza documentaries, hata ile documentary ya "Blood Diamond" ni yeye aliitengeza kabla haijafanywa movie.
Faiza, dah... huyu jamaa mwisho kichaa mkweli kwa kwenda mbele.... Ah ah ah ah... Enjoy fore... what?
 

asante dada FF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…