TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Waingereza wanahubiri wasichokitenda! Hiyo haiwasaidii kwani ukweli utaendelea kusemwa tu na wale wanaoufahamu!
tatizo la wairani ni kuwa kila walichonacho ni fotokopi ya mwingereza na marekani na Irani lazima ipigwe ijue Israel ni taifa la Mwenyezi Mungu kama maandiko matakatifu ya Biblia yanavyoelekeza...........
FF hawa ndio machampion wa utandawazi lakini wanajitahidi bado wana mechanism kuzuia vitu flani visiharibu watu wao.sisi tunapokea yote na negative effect kibao.Kiboko yao ni M British mwenzao George Galloway.
Press TV, the English language arm of Iran's state broadcaster, was taken off air yesterday after Ofcom revoked its licence.
The television watchdog said it was forced to act because the Iranian news network was editorially controlled by Tehran but held a licence saying it was based in Britain.
Ofcom had been investigating the news channel over an interview it aired with Maziar Bahari, a Newsweek journalist who was detained by the Iranian authorities during the 2009 presidential election protests. Mr Bahari filed a complaint when he returned to Britain saying the interview was conducted under duress. Ofcom found in his favour and fined Press TV £100,000 which they refused to pay.
During the investigation it emerged that Press TV had the wrong broadcasting licence. Ofcom said that the licence was held by London-based Press TV Ltd but editorial decisions were being made by Press TV International, which is based in Tehran.
Insiders told The Independent that the TV network could have easily complied with regulations by either moving editorial control to Britain or applying for a new licence as a foreign broadcaster. But Ofcom received no replies and decided yesterday to switch the channel off.
Yvonne Ridley, a British journalist who presents two shows with Press TV, said it was a "sad day for British journalism". "People have to remember that while Press TV was state funded it was not state controlled," she said. "It has been a thorn in the side of Western nations, particularly Britain and America.".
Kiboko yao ni M British mwenzao George Galloway.
Kiboko yao ni M British mwenzao George Galloway.
Watu wa 'dizaini' hii sasa hivi naanza kuwatilia mashaka, kwa sababu hayo anayoyasema hayatofautiani sana na Press TV waliyokuwa wakieleza. Hivyo nilitegemea ashikishwe adabu yeye kwanza kabla ya Press TV kwa kuwa msaliti wa Utawala wa Malkia. Ninachokiona hapa, Watawala wa Waingereza na hata Wamarekani wanawatumia akina Galloway kuwapumbaza raia wa nchi nyingine ili ionekane kuwa matendo yanayoyafanya(wao watawala) sio sahihi ili kupunguza hasira dhidi ya nchi zao (Raia wao) kutoka kwa nchi wanazokandamiza.
Faiza, dah... huyu jamaa mwisho kichaa mkweli kwa kwenda mbele.... Ah ah ah ah... Enjoy fore... what?Kuna mmoja huyu sijui watamfungia vipi anaitwa Ishmahel Blagrove, huyu kijana ni msomi na anatengeneza documentaries, hata ile documentary ya "Blood Diamond" ni yeye aliitengeza kabla haijafanywa movie.
Bahati mbaya sikufuatilia mahojiano yake na Senate. FaizaFoxy, waweza kunisaidia link za mahojiano hayo?Walishindwa senate walipomuweka kiti moto, watu wanaosimama kwenye ukweli siku zote wanatisha!
Bahati mbaya sikufuatilia mahojiano yake na Senate. FaizaFoxy, waweza kunisaidia link za mahojiano hayo?
Kuna mmoja huyu sijui watamfungia vipi anaitwa Ishmahel Blagrove, huyu kijana ni msomi na anatengeneza documentaries, hata ile documentary ya "Blood Diamond" ni yeye aliitengeza kabla haijafanywa movie.
Huyu anaongea pale Speakers Corner Hayde Park. msikilize hapa lakini huwa anaongea lugha kali (at your own risk). Unaweza google Ishmahel Blagrove kwa mada zingine.
[video=youtube_share;ZnyFD8ux0YM]http://youtu.be/ZnyFD8ux0YM[/video]