Majuzi tu hapa tumeona Mh. Mbunge fulani akihusishwa na kukwiba maji kwa kujiunganishia kinyemela. Na pia majuzi tu hapa kumekuwa na habari kuhusu Muhammad Ali kuwa uchunguzi wa vinasaba, DNA kubaini kuwa ana asili ya Ireland. Sasa kutokana na kadhia inayofuata huenda tukichunguza vinasaba vya hawa 'vishoka' wa Leicester huenda tukabaini mahusiano na 'waswahili' wa pwani ya Afrika Mashariki. ..Just my thoughts tu wazee, full stori inafuata: