Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,625
- 112,704
Karibu sana, aah haya mambo ya farkhina mie ni learnerWow,evelyn itabidi nikutembelee maana kwa masotojo hujambo...
Asante mamii,chochote chenye mayonise mimi kinashuka tu
Yap carrot mbichi unaiosha tu vizuri unaikwangua kutumia gratercarot mbichi ama ??
Gelofriend hii kitu ni tamu mdogo mdogo unaweza malizia kimfuko cha mkate ha ha haMh gelofriend naona unazidi kupalilia title yako ya uwife material, now unaboresha na anga za farkhina teh teh. Breakfast ipo simple afu inaonekana tu amazing
Hahaha hizo mambo za mdogo mdogo tushawahi kumaliza hiyo menu ili imeisha tukajikuta tunaona aibu wenyeweGelofriend hii kitu ni tamu mdogo mdogo unaweza malizia kimfuko cha mkate ha ha ha
Yap carrot mbichi unaiosha tu vizuri unaikwangua kutumia grater
View attachment 320134
Mie Mayonize ilinikataaga tangu enzi za Yesu....naona kama nakula mafuta ya mgandoMahitaji:
Mkate
Carrot 1
Mayonize
Jinsi ya kuandaa:
. Chukua carrot ikwangue kwenye greater
. Weka mayonnaise kwenye carrot uliyokwangua kisha ichanganye vizuri
. Paka mchanganyiko wa carrot na mayonnaise kwenye mkate, unaweza kukata mkate shape inayoipenda
Mkate upo tayari kwa kuliwa simple kabisa ila mkate unakua na ladha flani amazing
View attachment 320129 View attachment 320130 View attachment 320131
Karibuni sana
Cc: Heaven Sent atoto Heaven on Earth Madame B brenda18
Kaboom mito ongeza kitambi
Hata mimi siipendiMie Mayonize ilinikataaga tangu enzi za Yesu....naona kama nakula mafuta ya mgando
Sasa unambania nani pua hapa??? Sasa hili nalo ni pishi?Sasa hili nalo ni pishi?
yap ... nashangaa, maana upishi wowote lazima uhusishe moto (heat)/'cooking' is the art of preparing food with the use of heat'.Sasa hili nalo ni pishi?
Hata mimi siipendi
Napikiwaga ile sijui mnaita Spanish what sijui omilet