'Brazamen, Bitoz, sista du'


Haha. Hilo janga la loso lilishanikuta...na nilivaa za bibi...wee!!
 
suruali michael jackson au zico,kuna viatu vya kina dada vya mpira vina matundu mengi,tuliviita saa nane utanikoma.

Mkuu sio vya kiume kweli vile. Vyeusi vimechorwa kimtu kinaendesha baiskeli!!
 

Hapo kwenye maringi sasa!! Tena unalifunga kamba kwenye kimti kisha mbio zinaanza!! Nakuunga mkono..maisha yale yametengeneza watu bora na sharp.
 
Mi nakumbuka viatu fulani hivi vyeusi vya plastiki almaarufu kama mwisho saa sita. Kama hukuvaa hivyo basi uliruka steji ya maisha. Pila kulikuwa na viatu vya gogo... Dah!
 
hapanaM.E.M.A vilikuwa vya kike rangi nyeupe na blue bahari vina matundu madogo madogo.
 

Watoto wachanga mmeingilia historia msioijua.
Waulizeni baba zenu!
Hiyo miaka ya 78-84 ubrazzamen, sista do ubitozz nk ndio ulikuwa inakwisha tena.
Wakati huo BUDDY GUY keshakuja na kuondoka Dar, baada ya show kabambe Mnazi Mmoja gardens.... Ndio Mnazi mmoja ilikuwa budtani na mandhari safi kabisa.
The Beatles walikuwa tayari na hits kadhaa..... hadj 84 tayari watu wesha retire u brazzaman!!
 
Raba za DH, almaarufu, Dunia hadaa/Daud hana uwezo.
Viatu vya chacha.
 
duh mambo ya kunfuu shuzi(shoes)halafu unatembea na cheni(chain)unajifanya bruce lee.
 
kuvaa chupi za VIP na kuzikuta kifuani

hahaaahahaaa...uuuuwiiiii..oooooh.....ni kweli kabisaaaaa...kitu cha VIP ukikitupia kikipata tu joto hichooo kinapanda kifuani au kama umevaa bukta basi utakuta kime-over take bukta mpaka magotini....duuuuuh....asante sana Catherini
 
kuvaa chupi za VIP na kuzikuta kifuani

hahaaahahaaa...uuuuwiiiii..oooooh.....ni kweli kabisaaaaa...kitu cha VIP ukikitupia kikipata tu joto hichooo kinapanda kifuani au kama umevaa bukta basi utakuta kime-over take bukta mpaka magotini....duuuuuh....asante sana Catherini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…