Mlevihalisi
Member
- Dec 9, 2017
- 19
- 3
Jana nilitangaza kuuza pikipiki yangu,,asanten kwa wote mlionishaur naambatanisha na picha,,pikipiki ipo posta karibu na ofisi za bot!! Document zote ninazo,,ina bima lakin third part inaisha mwez ujao!! Haijafunguliwa mashine zaid ya service za kawaida!! Pikipiki nilikuwa naitumia kwa matumiz binafs nauz kwa sababu nna uhitaji wa hela pia nna usafir mwingine!! Kwa mawasiliano 0767663600
Pikipiki n ya kwangu mwenyew hivo c dalali!!
Bei n 1,800,000 lakin maongez yapo ya kutosha!! Njoo uikague
Pikipiki n ya kwangu mwenyew hivo c dalali!!
Bei n 1,800,000 lakin maongez yapo ya kutosha!! Njoo uikague