N NSHIMBA NG'OSHA Member Joined Oct 13, 2012 Posts 11 Reaction score 1 Dec 28, 2013 #1 Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha.
Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha.
prakatatumba JF-Expert Member Joined Oct 17, 2011 Posts 1,328 Reaction score 192 Dec 28, 2013 #2 Ahsante kwa taarifa.
S Summahha Member Joined Dec 16, 2013 Posts 6 Reaction score 0 Dec 28, 2013 #3 NSHIMBA NG'OSHA said: Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha. Click to expand... Tunashukuru Kwa Taarifa.
NSHIMBA NG'OSHA said: Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha. Click to expand... Tunashukuru Kwa Taarifa.
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,403 Reaction score 88,686 Dec 28, 2013 #4 NSHIMBA NG'OSHA said: Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha. Click to expand... Thanks for the in4.
NSHIMBA NG'OSHA said: Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha. Click to expand... Thanks for the in4.
C Chizoba Member Joined Nov 20, 2013 Posts 52 Reaction score 49 Dec 28, 2013 #5 Huu ni uongo, dealine ilikuwa november. hiyo short listing wamefanya lini na masikukuu yote haya?
L Lihove JF-Expert Member Joined Mar 28, 2012 Posts 209 Reaction score 69 Dec 28, 2013 #6 Vipi kuhusu vimemo vya kutoka kwa waheshimiwa kwa ajili ya watoto wao? Na vyenyewe vinafanyiwa shortlist?
Vipi kuhusu vimemo vya kutoka kwa waheshimiwa kwa ajili ya watoto wao? Na vyenyewe vinafanyiwa shortlist?
N NSHIMBA NG'OSHA Member Joined Oct 13, 2012 Posts 11 Reaction score 1 Dec 28, 2013 Thread starter #7 Chizoba said: Huu ni uongo, dealine ilikuwa november. hiyo short listing wamefanya lini na masikukuu yote haya? Click to expand... Kaka hizi ni taarifa za ndani kabisa stay tuned
Chizoba said: Huu ni uongo, dealine ilikuwa november. hiyo short listing wamefanya lini na masikukuu yote haya? Click to expand... Kaka hizi ni taarifa za ndani kabisa stay tuned
E Elinewinga JF-Expert Member Joined Aug 16, 2011 Posts 632 Reaction score 175 Dec 28, 2013 #8 nashukuru kwa taarifa,lakini kazi ipo kweli,T.R.A vipi napo?
saimon111 JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 1,736 Reaction score 1,357 Dec 28, 2013 #9 Kama huu ni uwongo basi wewe lete ukweli
Nyam Senior Member Joined Jul 9, 2012 Posts 134 Reaction score 72 Dec 29, 2013 #10 vp kuhusu TAKUKURU? mbona hamuiongelee wakuu??
prakatatumba JF-Expert Member Joined Oct 17, 2011 Posts 1,328 Reaction score 192 Dec 29, 2013 #11 NSHIMBA NG'OSHA said: Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha. Click to expand... Uliomba post gani mkuu?
NSHIMBA NG'OSHA said: Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha. Click to expand... Uliomba post gani mkuu?
B babras Member Joined Nov 25, 2013 Posts 30 Reaction score 4 Dec 29, 2013 #12 ukipata hapo ujue ni mkono mungu tu
GKM JF-Expert Member Joined Dec 5, 2012 Posts 738 Reaction score 332 Dec 29, 2013 #13 NSHIMBA NG'OSHA said: Kaka hizi ni taarifa za ndani kabisa stay tuned Click to expand... Kwa nini wasitoe majina kwenye web yao au kutuma email badala ya simu? Na wana interviews ngapi?
NSHIMBA NG'OSHA said: Kaka hizi ni taarifa za ndani kabisa stay tuned Click to expand... Kwa nini wasitoe majina kwenye web yao au kutuma email badala ya simu? Na wana interviews ngapi?