BONTA katoa MATUSI

Kama hiphop imekupta pemben ucjaribu kuandka upumbavu xaxa tusi liko wap? Maria Stopes unaijua ww ulza kwanza......big up Daktar 2pe radha hayo ndo maarifa
 
:nono: bikira maria na marie stopes ni wapi na wapi..halafu tunasema ni mkali hana mpinzani!!:high5:
 
Dah jamani sasa uggreat thinker wenu upo wap BONTA ANASEMA TUNGO ZAKE ZINATHANI KULIKO BIKIRA YA MARIA- STOPERS WANATOA NA MABINT WANALIA (swari dogo tu mnaifahamu marie stopz) buruzeni vichwa vyenu chini huenda vitaumia na kufikiri achen uvivu nyambafu. nafungua vichwa vyenu kama droo za kabati la chimwaga................ ala.......:washing::kev::yell:
 
unatisha sana ninja vichwa vya kuku haviwezi beba hizi tungo.
:a s 576::a s 576:
 
Mi nafikri kapitilizakwenye upuuzi,huyu ni mwanaharamu !sijawahi kusikiliza huo ujinga wake lakini ki lugha ukiangalia hiyo nukuu ya mashairi uliyoweka hapo juu ,huyu mwendawazimu hakumtaja bikra maria as a person-ametaja au kudhalilisha sehemu za fargha za mmojawpo wa wanawake watakatifu duniani .kwa kweli amenichafua roho kupita maelezo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…