bonta concious
ni kama naongea matusi hawataki kuniskia, ni kama nafanya matusi hawataki kuniangalia...nabaniwa na nina enjoy coz heshima inaomgezeka na kitaani naeleweka, najua mengi kama lisu mi ni tundu la sindano, hamtapita nyie ngamia wa kijani na manjano, kwa mfano, hata manzi akivua nguo sisimami kama ufunguo, nitakaza mimi mjaluo, hisia zangu ziko mbali kama siasa za ulimwengu, generaly on... Monday, kinanu...ka mpaka sunday, manara juu nilipo kamuulize warawara, sichezwi sana presenter yupo mfukoni, mwa chief, kiumbe mimi siitaja shangwe kwenye show, nipo emotional ni soo, piga kimya na niskilize mimi bro, nafungua vichwa vyenu kama droo, za kabati la chimwaga, linasiri za kumwaga, nikifa nitaacha mengi ndugu zangu, siachi promo za redioni wala ubingwa wa mdomoni, sipotei kama kidato kimoja mtangoja, jah ndo anaebariki hizi tungo,zinathamani zaidi ya bikira, ya marie stopes wanatoa, na mabint wanalia kimbia, bora kuwa tajiri pesa ndogo hizi ni najisi, wananajisi, kasisi............"natumia sana metalfor[tashibiha], aina flani ya uandishi ambayo inaleta more than 1 meaning kwa msikilizaji husika, sehemu aliyopo au tradition yake...i aint mean to sound hush or to hurt any feeling....naamini sijatukana ila kama kuna m2 ame
athiriwa na iyo tashibiha....naomba nisamehewe